Mwamuzi wa pembeni 'Mshika kibendera' akitumbukia katika mtaro wakati akiwa katika kazi jana kwenye Mchezo wa fainali wa Kombe la SportPesa Super Cup, ambapo alitumbukia katika kijishimo hiki kilichopo pembeni mwa uwanja huo na kuhangaika kujitoa na mpira kusimama kwa sekunde kadhaa.
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
6 days ago

No comments:
Post a Comment