Habari zilizotufikia hivi pande zinasema kuwa Msanii wa Muziki wa kikazi kipya nchini Sam wa Ukweli amefariki Dunia jana u siku.
Imeelezwa kuwa Sam alikutwa na umauti wakati akiwa njiani kupelekwa hospitali ya Mwananyamala kwa matibabu baada ya kuishiwa ngivu wakati akiwa Studio akirekodi wimbo wake mpya.
Aidha imeelezwa kuwa Sam aliishiwa nguvu ghafla wakati akiingiza vocal katika wimbo wake mpya na kukimbizwa katika hospitali ya Parestina ambako alihamishiwa Mwananyamala na kufariki njiani Kabla ya kufikishwa hospitalinhospitalini hapo.
Taratibu za maziko zinafanyika ambalo anatarajia kuzikwa Bagamoyo.
MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEMU SAM MAHALA PEMA PEPONI, AMEEN

No comments:
Post a Comment