Mgeni rasmi, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta, akivishwa Scaf na vijana wa Scout, Mohamed Ramadhan (kulia) na Johari Athuman, wakati wa Kongamano la Vijana lenye lengo la kujua umuhimu wa kushiriki Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, lililofanyika katika Ukumbi wa Bertil Merlin Shule ya Sekondari Kibaha Mkoa wa Pwani leo. Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru zinatarajiwa kufanyika April 2 2025 katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha.
Mgeni rasmi, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta, akizungumza na Vijana wakati wa Kongamano la Vijana lenye lengo la kujua umuhimu wa kushiriki Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, lililofanyika katika Ukumbi wa Bertil Merlin Shule ya Sekondari Kibaha Mkoa wa Pwani leo. Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru zinatarajiwa kufanyika kuzinduliwa rasmi April 2 2025 katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha.
Baadhi ya Viongozi na wafanyakazi wa Benki ya NMb wakifuatilia Kongamano hilo.
Kamanda Johari na mwenzake Mohamed wakiwaongoza wenzao katika paredi la heshima.
Mgeni rasmi, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta, akisalimiana na Mratibu wa Kongamano la Vijana, Omari Abdul, wakati wa Kongamano la Vijana lenye lengo la kujua umuhimu wa kushiriki Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, lililofanyika katika Ukumbi wa Bertil Merlin Shule ya Sekondari Kibaha Mkoa wa Pwani leo. Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru zinatarajiwa kufanyika April 2 2025 katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha.
Mwanagenzi, akighani mashahiri kuhusu Mwenge wa Uhuru,
Kamanda Johari na mwenzake Mohamed wakiwaongoza wenzao katika paredi la heshima.
Mgeni rasmi, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta, akisalimiana na Mratibu wa Kongamano la Vijana, Omari Abdul, wakati wa Kongamano la Vijana lenye lengo la kujua umuhimu wa kushiriki Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, lililofanyika katika Ukumbi wa Bertil Merlin Shule ya Sekondari Kibaha Mkoa wa Pwani leo. Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru zinatarajiwa kufanyika April 2 2025 katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha.
Mwanagenzi, akighani mashahiri kuhusu Mwenge wa Uhuru,
Picha ya pamoja Mgeni rasmi na baadhi ya wadhamini wa Kongamano hilo.
Mgeni rasmi akiagana na baadhi ya wadau kutoka Benki ya NMB waliohudhuria Kongamano hilo.
Mgeni rasmi Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta, akiteta jambo na Meneja wa Benki ya NMB, Tawi la Mlandizi,William Marwa, wakati akiondoka ukumbini hapo.
Mgeni rasmi akiagana na baadhi ya wadau kutoka Benki ya NMB waliohudhuria Kongamano hilo.
Mgeni rasmi Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta, akiteta jambo na Meneja wa Benki ya NMB, Tawi la Mlandizi,William Marwa, wakati akiondoka ukumbini hapo.
No comments:
Post a Comment