Sijui nitawahi?, kuingia wa mwisho noma....Mbunge wa Magu, Dk. Festus Limbu, akitimua mbio nje ya Ukumbi wa Bunge kuwahi kuingia ndani ya Ukumbi mara baada ya kengere ya mwisho kugongwa kabla ya kuanza kwa Kikao cha Bunge mjini Dodoma le0. Picha na (SPM)
Siasa : Waziri Mkuu Mstaafu Aeleza Mambo Matatu Kuimarisha hali ya
Demokrasia Nchini
-
Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza leo Septemba 19,
2024 wakati kongamano lililoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)
...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment