Menu
▼
Thursday, December 31, 2009
*MSIBA WA KITAIFA SIMBA WA VITA HATUNAE DUNIANI
"Huu ni msiba wa kitaifa, hivyo Taifa zima tutakuwa na maombolezo na bendera ya Taifa itapepea nusu mlingoti kwa siku saba"
Rais Jakaya Kikwete, akizungumza wakati alipokuwa akitangaza rasmi kuhusiana na kifo cha Simba wa Vita, Rashid Mfaume Kawawa, aliyefariki Dunia leo saa tatu na nusu asubuhi. Picha na (SPM)
Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (kulia) akiwa na Simba wa Vita, Rashid Kawawa, enzi ya uhai wao wakati walipomtembelea Mama mzazi wa Nyerere (kushoto) ambaye naye pia ni marehemu kwa sasa. Mungu aziweke roho zao peponi amina.
Kawawa, watatu kutoka (kushoto) akiwa na baadhi ya Vingozi wa Chama cha Mapinduzi CCM, enzi za uhai wake katika moja ya shughuli za Kitaifa.
Kawawa hakuwa nyuma katika masuala mazima ya ukakamavu, pichani (watatu kutoka kulia) ni wakati alipokuwa na kikosi JKT, wakiwa katika mazoezi ya kivita kujiweka sawa.
No comments:
Post a Comment