Na bado mtanitambua kwenye Ligi huu ni mwanzo na mfano tuuuuuu.
Oya msinitolee mimacho me nimebehili kombe, hata we msomaji usinitolee macho nalipa eeeeee!
Hata mfanyeje vymbani kwenu hatuingng'oooooo, tutavalia hapa hapa kama mlishaloga mtajiju.
Wachezaji wa Timu ya Sofapaka, wakivalia kwenye Bechi badala ya kuingia vyumbani kwa madai kwamba wanaogopa upupu, hata timu hii inayomilikiwa na Kanisa huko kwao inaamimambo haya badala ya kumuaimini yule naniliu tu awalinde?????
Duh! mbona dakika haziendi? jamaa wanatuhemea golini kwetu kila dakika.....
Viongoizi wa Sofapaka, wakiangalia muda wakati mchezo huo ukiendelea, hawaamini macho yao kwa kile wanachokiona jinsi wanavyoshambuliwa.
Oyaa usinitolee mimacho, hunitishi kiivyo, alaaa, kama unahasira si ukampige Ngassa, aliyewatesa kwa michenga ya maudhi, au unatufananisha nini me si Ngassa tunafanana ufupi tu.
Hivi ndivyo ilivyokuwa washikaji, me sikupigwa kama ilivyotangazwa hili jamaa lilikuwa likizuia tusipige picha kipa wao wakati alipokuwa akiarestiwa na maafande alipokuwa akijaribu kumpiga refa
Mkifika hapa pigeni, na hawa jamaa msiwaruhusu kufika hapa watatumaliza wanaonekana wanakuja mno....
Kocha wa Sofapaka akiwaelekeza wachezaji wake kwa kutumia ubao wakati wa muda wa mapumziko, ili kulinda gori lao walilopata kwa njia ya adhabu ndogo kipindi cha kwanza.
Kipa wa Sofapaka, akioa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni kwake.
Beki wa Sofapaka, Edgar Ochieng (kulia) akimhadaa Mrisho Ngassa.
Wachezaji wa Yanga na wa Sofapaka, wakibishana, wakati wakimtaka kipa wa Sofapaka kuondoa mkoba uliokuwa na grovs, unaoonekana ndani ya nyavu waliouzania kuwa ni tunguli lililowekwa na kipa huyo ili asifungike kirahisi.
We tulia weweeeee, unalia nini hako kateke kadogo tu we unalia hapa tupo 18 yenu usidhani uatapata penati.....

Athuman Idd 'Chuji) (kulia) akicheza rafu baada ya beki wa Sofapaka kuondosha mpira mbele yake.
Beki wa Yanga, Amir Maftah (kulia) akimtoka beki wa Sofapaka, Kamadi Michael, wakati wa mchezo huo.
Hawa ni baadhi tu ya mashabiki waliojitokeza kushuhudia mchezo huo kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es salaam.
Oyaa usinitolee mimacho, hunitishi kiivyo, alaaa, kama unahasira si ukampige Ngassa, aliyewatesa kwa michenga ya maudhi, au unatufananisha nini me si Ngassa tunafanana ufupi tu.
Mkifika hapa pigeni, na hawa jamaa msiwaruhusu kufika hapa watatumaliza wanaonekana wanakuja mno....
We tulia weweeeee, unalia nini hako kateke kadogo tu we unalia hapa tupo 18 yenu usidhani uatapata penati.....
Athuman Idd 'Chuji) (kulia) akicheza rafu baada ya beki wa Sofapaka kuondosha mpira mbele yake.
Tulia hivyo hivyoooooo!
Kijana aliyedaiwa kumkwapulia simu jamaa mmoja wakati wakiwa kwenye msonamano wa watu kibwena, uwanjani hapo.
Nenda kawaue mdogo wangu.............................
Mrisho Ngassa (Kushoto) kiwatoka mabeki wa Sofapaka baada ya mpira kuwapita wote waliporuka kupiga kichwa na AdKassim (kualia) na kuandika bao la pili na la ushindi.
Hata ni we ni Mkei mwenzangu lakini hapa nimekuja kazini wacha nifanye kazi kwanza we tulia tuuu, me ndo Ambani tutaonana nyumbani mazee...
Hata ni we ni Mkei mwenzangu lakini hapa nimekuja kazini wacha nifanye kazi kwanza we tulia tuuu, me ndo Ambani tutaonana nyumbani mazee...
Si mnanitaka ? hivi ndivyo vitu vyangu kwanza kazi nikija kwenu tusahau haya ok?
Mrisho Ngassa, akifunga bao la pili na la ushindi kwa timu yake ya Yanga, hili ndilo gori la ushindi.
Aisee rudini uwanjani tukamalizie dakika zilizobaki hamsikii nitawapa kadi nyekundu wote nyie..
Refa wa mchezo huo akiwaamuru wachezaji wa Yanga kurudi uwanjani wakati walipokuwa wakishangilia bao lao la pili.
Aisee rudini uwanjani tukamalizie dakika zilizobaki hamsikii nitawapa kadi nyekundu wote nyie..
Sasa ile ndo nini Kipa anataka kumpiga Refa kwani ndo aliewafunga? Si wampige Ngassa? ona ona......
Kocha wa Yanga (kulia) akiwashangaa wachezaji wa Sofapaka waliokuwa wakitaka kumpiga Refa baada ya mchezo huo kumalizika.
Bora mtulinde jamani hawa jamaa utazani ni mungiki! wanahasira haooooooooo!
Askari Polisi wakiwasindikiza waamuzi kutoka nje ya uwanja mara baada ya mchezo huo kumalizika, wakati walipokuwa wakizongwa na wachezaji wa Sofapaka.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia kwa staili yao babakeeee.
Hili ndilo Kombe la Tusker likisubiri kukabidhiwa kwa mshindi.
Nyie si mnajifanya mamungiki fanyeni hizo fujo zenu muone tunavyowaogesha maji ya kuwasha.
Gari la maji ya kuwasha la Polisi likianza tisha nyau mara baada ya kuona vurugu zinaanza uwanjani hapo.
Bora mtulinde jamani hawa jamaa utazani ni mungiki! wanahasira haooooooooo!
Nyie si mnajifanya mamungiki fanyeni hizo fujo zenu muone tunavyowaogesha maji ya kuwasha.
No comments:
Post a Comment