Habari za Punde

*Daladala lanusurika kuua abiria Dar

Abiria wakitelemka katika gari la daladala linalofanya safari zake Mwananyamala-Kivukoni, ili kunusuru maisha yao baada ya gari hilo kukosa breki na kusimama kwenye mataa ya Sarenda na kuamua kupanda ukuta wa daraja hilo ili kurahisisha kusimama. Picha na (SPM)

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.