Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki ya NMB, Amman Kajula (kushoto) akitoa maelezo ya jinsi ya kutumia huduma mpya, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Utumaji pesa kwa kutumia huduma ya NMB Mobile (NMB Mobile Money Transifer) iliyozinduliwa jijini Dar es Salaam leo . Kulia ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Shillah Senkoro.
DKT MWIGULU: VIONGOZI WA DINI ENDELEENI KUTOA ELIMU YA UMOJA NA AMANI
-
_Atoa wito kwa Watanzania kuhimiza umoja na amani_.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa viongozi wa dini
kuendelea kushirikiana na Serikal...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment