Na Sufianimafoto Reporter
Ramadhan Nasibu leo ameibuka mshindi katika uchaguzi mdogo wa
shirikisho la Soka Tanzania TFF, kuziba nafasi ya Makamu wa pili wa
Rais Shirikisho hilo, kwa kumbwaga mpinzani wake John Nchimbi kwa kura
54 kwa 47, wakati wa uchaguzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam leo
katika Ukumbi wa Water Front.
Kwa hatua hiyo sasa Nasibu ataendelea kushikilia nafasi hiyo hadi baada
ya miaka mitatu (3), utakapofanyika uchaguzi mwingine.
KAMA HUNA UWEZO USIOMBE KAZI ILALA - DC MPOGOLO
-
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewataka wakandarasi wenye nia
ya kuja kuomba kazi katika Wilaya hiyo kuhakikisha kuwa wana uwezo wa
kufany...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment