Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajula (kushoto) na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, Fredrick Mwakalebela, wakitiliana saini mkataba wa udhamni wa Soka 2010 baada ya kumalizika kwa mkataba wa awali. Nyuma (katikati) ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Leonard Thadeo, (kulia) ni Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Marcio Maximo, (kushoto) ni Meneja Masoko wa benki hiyo, Shillah Senkoro.
MISRI YATOKA NYUMA NA KUICHAPA ZIMBABWE 2-1
-
TIMU ya Misri imetoka nyuma na kushinda mabao 2-1 dhidi ya Zimbabwe katika
mchezo wa Kundi B Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) usiku wa
jana ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment