Balozi wa Japan nchini, Hiroshi Nakagawa (kulia) akisainiana mkataba na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama kwa ajili ya kujenga mabweni mawili ya wasichana katika Shule ya Sekondari ya Baloha wilayani humo, wakati wa hafla fupi ya kutiliana saini mikataba mbalimbali ya maendeleo na wakurugenzi mbalimbali wa wilaya tofauti iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mwitikio wa Wananchi Walazimisha Tume ya Amani Kuongezewa Muda wa Kazi
-
Mamlaka ya Uteuzi imeridhia maombi ya kuongezewa muda kwa Tume ya
Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya
Uchaguzi Mkuu w...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment