Huyu si mwingine ni mpiga picha wa gazeti la Habari Leo, Mroki Mroki almaaruf Mr. Kidevu, akihangaika na kamera iliyoonekana kumzidia nguvu na kuamua kuifunga mpira katika chuma huku akijihisi ameweka kamera hiyo katika stendi, "ahaa hapa sasa napata picha vizuri" alisikika akisema Mroki. Na nyie waajiri tunashukuru iwapo mnatambua umuhimu wa wapiga picha katika vyombo vya habari, basi jitahidini kuboresha vitendea kazi na iwapo mmefanikiwa kununua kifaa kama hiki, iweje mshindwe kununua na stendi yake hali yakuwa mnafahamu umuhimu wake?, Je akileta picha zote zimeshake mtamlaumu? TUHESHIMIANE KATIKA KAZI kila mmoja katika nafasi yake.
CRDB YAADHIMISHA MEI MOSI KITAIFA NJOMBE
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Njombe. CRDB Bank Plc imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuunga mkono
wafanyakazi na maendeleo ya taifa kwa kudhamini na kushirik...
18 hours ago
No comments:
Post a Comment