Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akionyesha Bastola na Baruti, wakati wa mkutano waandishi wa habari jana. Vifaa hivyo vya uhalifu vilitumiwa na majambazi hayo, ambapo jumla ya majambazi 17 walikamatwa pamoja na vifaa vingine vya kufanyia uharifu. Kulia ni Msaidizi wake ASP Mzavaz.
NSIMBO WACHANGAMKIA MAJIKO YA RUZUKU
-
-Washukuru kufikishiwa majiko banifu kwa bei ya ruzuku
Wananchi wa Kijiji cha Mtakuja Kata ya Kapalala katika Halmashauri ya
Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment