Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akionyesha Bastola na Baruti, wakati wa mkutano waandishi wa habari jana. Vifaa hivyo vya uhalifu vilitumiwa na majambazi hayo, ambapo jumla ya majambazi 17 walikamatwa pamoja na vifaa vingine vya kufanyia uharifu. Kulia ni Msaidizi wake ASP Mzavaz.
KAMA HUNA UWEZO USIOMBE KAZI ILALA - DC MPOGOLO
-
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewataka wakandarasi wenye nia
ya kuja kuomba kazi katika Wilaya hiyo kuhakikisha kuwa wana uwezo wa
kufany...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment