Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akionyesha Bastola na Baruti, wakati wa mkutano waandishi wa habari jana. Vifaa hivyo vya uhalifu vilitumiwa na majambazi hayo, ambapo jumla ya majambazi 17 walikamatwa pamoja na vifaa vingine vya kufanyia uharifu. Kulia ni Msaidizi wake ASP Mzavaz.
WAZIRI SANGU ATETA NA VIONGOZI WA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE (CPCT)
-
Na: OWM – KAM, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa
Deus Clement Sangu(Mb.), amekutana na kufanya mazu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment