Hafisa Habari wa Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Triford Ndimbo, akizungumza na waandishi wa habari jijini leo, kuhusu safari ya Timu ya Simba inayoondoka kesho kuelekea nchini Zimbabwe kwa ajili ya mchezo wake wa Kombe la Shirikisho na timu ya Lengthens.
WAZIRI KOMBO NA PROF. KABUDI WAITEMBELEA KAMBI YA TAIFA STARS MISRI NA
KUWAKABIDHI BENDERA YA TAIFA.
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Mhe....
1 hour ago
No comments:
Post a Comment