Habari za Punde

*SIMBA KUPAA KESHO KWENDA KOMBE LA SHIRIKISHO-ZIMBABWE


Hafisa Habari wa Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Triford Ndimbo, akizungumza na waandishi wa habari jijini leo, kuhusu safari ya Timu ya Simba inayoondoka kesho kuelekea nchini Zimbabwe kwa ajili ya mchezo wake wa Kombe la Shirikisho na timu ya Lengthens.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.