Mafundi wa Kampuni ya ujenzi ya Mess, wakiendelea na kazi ya kufunga nyaya za umeme mkubwa wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Shekilango, Dar es Salaam jana, kuelekea Kanisa la Kakobe. Mhagale
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment