Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini, Fatuma Ndangiza (katikati) na Mshauri Balozi (1st. Counsellor) Shakilla Umutoni, kabla ya kuanza kwa mazungumzo yao, yaliyofanyika ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam leo mchana. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI NA MADARASA SHULE YA SEKONDARI DK.
SELEMANI JAFO
-
*MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akikagua ujenzi wa
mabweni mawili na madarasa katika Shule ya Sekondari Dkt.Selemani
Jafo,wakati wa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment