Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini, Fatuma Ndangiza (katikati) na Mshauri Balozi (1st. Counsellor) Shakilla Umutoni, kabla ya kuanza kwa mazungumzo yao, yaliyofanyika ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam leo mchana. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
DKT MWIGULU: WANAOPINGA MAAMUZI YA SERIKALI WANALINDA MASLAHI BINAFSI,
WANANCHI WAMUUNGE MKONO RAIS SAMIA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa ni jambo la kawaida kwa
baadhi ya watu kupinga hatua za Serikali, ha...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment