Rais Jakaya Kikwete (wapili kushoto) akiangalia wasanii wa ngoma ya asili ya Uganda baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kampala tayari kwa kuudhulia mkutano wa Afrika Mashariki kuhusu masuala ya uwekezaji. Picha na Fredy Maro
NHC YAUNGA MKONO MAENDELEO YA UNUNUZI NA UGAVI KUPITIA KONGAMANO LA KITAIFA
-
ARUSHA-Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linashiriki katika Kongamano la 16
la Mwaka la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi jijini Arusha.
Kongamano hilo ambal...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment