Rais Jakaya Kikwete (wapili kushoto) akiangalia wasanii wa ngoma ya asili ya Uganda baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kampala tayari kwa kuudhulia mkutano wa Afrika Mashariki kuhusu masuala ya uwekezaji. Picha na Fredy Maro
MESSI AKOSA TENA PENALTI ARGENTINA YAITOA MISRI
-
MABINGWA watetezi, Argentina wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la
Dunia baada ya kutoka nyuma na kushinda mabao 3-2 dhidi ya Misri usiku huu
Uwan...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment