Tayari msafara mzima wa Wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi VODACOM, umekwishaingia mjini Morogoro, tayari kufika nyumbani kwa Voda Milionea kwa ajili ya kuandaa mazingira ya kumkabidhi kitita chake alichoshinda katika Droo hiyo iliyomalizika hivi karibuni.
Gari lililokuwa na wafanyakazi wa Vodacom, likiingia nyumbani kwa Voda Milionea, Bw. Benald John.
Bwana John (katikati) akiwakaribisha watu wa Vodacom kwa furaha nyumbani kwake, huku akiwaongoza kuingia ndani tayari kwa mazungumzo.
Baada ya kufiaka uwani alisalimiana na kumkaribisha, Meneja Mawasiliano wa kampuni hiyo, Nector Foya.
Meneja Mawasiliano wa kampuni hiyo, Nector Foya (kushoto) akisalimiana na ndugu na jamaa wa John nyumbani hapo.
Msafara huo ukizungushwa katika kona za nyumba hiyo kukagua na kujionea mazingira ya nyumba ya bw. Voda Milionea.
Haya ndiyo mazingira halisi ya nyumba hiyo kwa nje.
Meneja Mawasiliano wa kampuni hiyo, Nector Foya (kushoto) akizungumza jambo kumueleza bw. John kile kilichowafanya kusafiri kutoka Dar mpaka Moro. "Hapa ndo chumbani kwangu jamani"
Bw, John akifurahi na kufafanua machache akiwa katika chumba chake halisi anachopatia usingizi wa kila siku.
Na hapa ndiyo sebuleni kwa Bw, John kama unavyoona TV, Jiko na baadhi ya vitu.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
WANASEMAJE MTANANGE WA TAIFA STARS NA SUPER EAGLES
-
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinaingia uwanjani kesho
Jumanne huko Fes, Morocco, kikiwa na dhamira ya kuandika historia mpya
katik...
WENYEJI MOROCCO WAANZA VYEMA AFCON 2025
-
WENYEJI, Morocco wameanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baada
ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Comoro katika mchezo wa Kundi A usiku wa
jan...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment