Wajumbe CCM wa Halmashauri Kuu Kata ya Sinza D wakihakiki wanachama wa Tawi hilo ili kuwaingiza katika daftari la kudumu la wapiga kura ikiwa ni maandalizi ya kupiga kura za maoni kutafuta Diwani na Mbunge katika uchaguzi unaotarajia kufanyika Agost 8 mwaka huu, ambapo mwisho wa kuhakiki ni Juni 30 mwaka huu.
DC SUMAYE AIPONGEZA TFS KUANDAA MAGAMBA WALKATHON
-
Na Oscar Assenga, LUSHOTO.
MKUU wa wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga Zephania Sumaye ameipongeza Hifadhi
ya Mazingira Asili ya Magamba wilayani Lushoto ...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment