Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi, Vodacom Tanzania, Nector Pendael, akizungumza na waandsihi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu mbio za ‘Dar Comrades Half Marathon’, za Kilometa 21, 10 na 5,zinazotarajia kufanyika Mei 29 mwaka huu jijini. Katikati ni Mjumbe wa Kamati ya SATZ Regent Tanzania Ltd, Paddy Hoon na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe.
‘’HATUTAKI WATUMISHI WA SEKTA YA ARDHI KUWA SEHEMU YA MATATIZO’’-DKT
AKWILAPO
-
Na Munir Shemweta, WANMM MASASI
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
amesema wizara yake haitaki watumishi wa sekta ya a...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment