Mratibu wa shindano la Miss Kurasini, Yason Mashaka, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo mchana, kuhusu shindano hilo linalotarajia kufanyika kwenye Ukumbi wa Equator Grill uliopo Mtoni kwa Azizi Ali jijini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Zulu Fashion Zuwena Mustapher (kulia) ni Mmoja kati ya wadhamini wa shindano hilo, Sam Mshana
PADRI KITIMA ASHITAKIWA: Tuhuma za Siasa za CHADEMA Zaibuka.
-
Waumini wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Stanslaus Thobias Nyakunga na
Elia Phaustine Kabote, wamewasilisha rasmi barua kwa Archbishop Angelo
Accatt...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment