Meneja Mauzo ya Kampuni wa Zantel Zanzibar, Mohammed Mussa (kushoto) akimkabidhi tiketi ya safari kuelekea nchini Afrika ya Kusini kwa ajili ya kuangalia mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia mshindi wa Droo ya pili ya Dondoka Sauz na Hyundai na Zantel, Said Hamad Shehe (kulia) mkazi wa Zanzibar. Katikati ni Menaja Masoko wa Hyundai Bi. Edna Mapande.
Airtel Tanzania kunogesha msimu wa sikukuu na kampeni ya "Sikukuu Imenyooka
na Santa Mizawadi
-
Dar es Salaam
KAMPUNI ya Airtel Tanzania inaendelea kuwafikia na kuwasogezea wateja wake
kampeni ya sikukuu ya “Sikukuu Imenyooka na Airtel Santa Mizawadi...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment