Meneja Mauzo ya Kampuni wa Zantel Zanzibar, Mohammed Mussa (kushoto) akimkabidhi tiketi ya safari kuelekea nchini Afrika ya Kusini kwa ajili ya kuangalia mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia mshindi wa Droo ya pili ya Dondoka Sauz na Hyundai na Zantel, Said Hamad Shehe (kulia) mkazi wa Zanzibar. Katikati ni Menaja Masoko wa Hyundai Bi. Edna Mapande.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment