Meneja Mauzo ya Kampuni wa Zantel Zanzibar, Mohammed Mussa (kushoto) akimkabidhi tiketi ya safari kuelekea nchini Afrika ya Kusini kwa ajili ya kuangalia mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia mshindi wa Droo ya pili ya Dondoka Sauz na Hyundai na Zantel, Said Hamad Shehe (kulia) mkazi wa Zanzibar. Katikati ni Menaja Masoko wa Hyundai Bi. Edna Mapande.
APRM YAKUTANA NA VIONGOZI WA WANAFUNZI KUJADILI NAFASI YA VIJANA KATIKA
UTAWALA BORA
-
Katibu Mtendaji wa Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika wa
Kujitathmini kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) Tanzania, Bw. Lamau Mpolo,
amekutana na...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment