Mshambuliaji wa timu ya Argentina, Leonel Messi (kulia) akijiandaa kumiliki mpira mbele ya wachezaji wa Korea Kusini, Lee Jung-Soo, wakati wa mchezo wa pili wa mzunguko wa kwanza wa timu hizo, uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Soccer City, Soweto Johannesburg. Argentina imeshinda mabao 4-1. Picha na AFP
TAIFA STARS YATOA SARE 1-1 NA UGANDA AFCON
-
TANZANIA na Uganda zimegawana pointi kwa sare ya kufungana bao 1-1 katika
mchezo wa Kundi C Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) usiku huu
Uwanj...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment