Mshambuliaji wa timu ya Argentina, Leonel Messi (kulia) akijiandaa kumiliki mpira mbele ya wachezaji wa Korea Kusini, Lee Jung-Soo, wakati wa mchezo wa pili wa mzunguko wa kwanza wa timu hizo, uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Soccer City, Soweto Johannesburg. Argentina imeshinda mabao 4-1. Picha na AFP
No comments:
Post a Comment