Brazil anaongoza 2-0 katika mchezo wa kirafiki baina yao na Zimbabwe, hadi sasa mpira ni mapumziko Brazil ikimaliza kipindi hicho cha kwanza ikiwa mbele kwa mabao 2, ambapo goli la kwanza limefungwa na Bastus katika dakika ya 42 na goli la pili likifungwa na Robinho.
Zimbabwe watajilaumu kwa kukosa magoli mawili ya wazi katika dakika za mwanzo za mchezo huo katika kipindi cha kwanza.
Watanzania Tubaini Ajenda za Wahuni wa Ughaibuni; Amani Yetu Ndiyo Ngao ya
Maendeleo
-
Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiendelea na jitihada
za kuzima cheche za vita katika Ukanda wa Maziwa Makuu, Watanzania
wametaki...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment