Menu
(Move to ...)
Home
Habari
Biashara
Afya
Mazingira
Jamii
Siasa
Bunge
Habari Picha
Michezo
Burudani
▼
Tuesday, June 1, 2010
*KUMBE NA WADOSI NAO WANAKULA CHIPS DUME
Ebwana sikuweza kuamini kumuona mdosi huyu alipokuwa kitoa minoti kwenye wareti yake ili kumlipa muuza mihogo ya kuchoma katika mtaa wa Samora dar es Salaam leo mchana, jamaa akijisevia mihogo kama kawaida eti baadaye maji tu poooooowa.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment