Mexico walicharuka na kuliandama lango la South kila dakika huku mashambulizi yakiwa ni ya zamu kwa timu zote hadi dakika ya 79, Mexico walipofanikiwa kupata bao la kusawazisha kupiti kwa mchezaji wake, Rafael Marquez na kufanya timu hizo kutoka uwanjani zikiwa sawa kwa kufungana 1-1.
CAF Yaruhusu Milango Wazi: Mashabiki Kuingia Bure Viwanjani AFCON 2025
-
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki
kuingia bure kwenye viwanja vinavyohodhi mechi teule za Kombe la Mataifa ya
Afrika...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment