Habari za Punde

*JK ATUA MKOA WA KIGOMA, APOKELEWA KWA SHANGWE

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiwahutubia wananchi wa Uvinza baada ya kuwasili mkoani Kigoma. Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na wanafunzi pamoja na wananchi wa Uvinza.
Wanachi wa Uvinza wakimshangilia Jakaya Kikwete baada ya kuwasili mkoani Kigoma leo.
Hawa ni baadhi tu ya Mapaparazi walioongozana na msfara wa Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete, wapozi kwa picha ya kumbukumbu.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.