Mwalimu wa Kidato cha kwanza na cha pili wa Shule ya Sekondari Lukuled, Tomoko Ada Chi, Raia wa Japan, akiwa ni mmoja kati ya wananchi wa Kijiji cha Lukuledi Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara, waliojitokeza kumsikiliza mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi hao na kuwanadi wagombea Ubunge wa Jimbo la Lulindi na Bwanausi Dismas na Mariam Kasembe wa Jimbo la Masasi hivi karibuni.
Rekodi Mpya: TISEZA Yasajili Miradi 177 na Trilioni 2.9 Kumwagika Tanzania
-
Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)
imetangaza neema ya kiuchumi baada ya kusajili miradi 177 katika robo ya
kwanza ya...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment