Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Sera Uratibu na Bunge, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Isman Mkoa wa Iringa, William Lukuvi, amefiwa na Dada yake mdogo aliyetajwa kwa jina la Odina, aliyefariki katika Hospitali ya mkoa wa Ruvuma ambako alikuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Mwili wa marehemu unataraji kuwasili kesho asubuhi katika kijiji cha Ifunda kibaoni ambako ni nyumbani kwa marehemu huyu kwa ajili ya shughuli za mazishi. Habari ziwafikie ndugu jama na marafiki wote wa Lukuvi popote walipo, ukoo wa kalinga , ukoo wa akina Godwin.
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo
mkoani Lindi na...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment