Kamera ya Sufianimafoto leo ilifanikiwa kuwanasa wazungu hao wakiingia katika Mgahawa wa Uswazi huko mitaa ya Mkwajuni Hananasifu, huku wakiwa wamepiga pensi zao na mmoja akiwa ametinga malapa chini, huku wakipiga stori na kuzama katika mgahawa huo uliopo Barabara ya Katumba karibu kabisa na barabara kubwa ya Kawawa.
WAZIRI SANGU ATETA NA VIONGOZI WA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE (CPCT)
-
Na: OWM – KAM, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa
Deus Clement Sangu(Mb.), amekutana na kufanya mazu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment