






"WE KIJANA ANGALIA NISIKUPE YA UKWELI OHOOO!, ZAMANI NILIKUWA BONDIA MIMI"
Kamanda Kova (kushoto) akizindua pambano hilo kwa kuigiza kucheza masumbwi na mmoja kati ya waandaaji.
Kamanda Kova, aliyekuwa mgeni rasmi katika pambano hilo (katikati) akiwa na Makamanda wa Kanda Maalum wa Temeke na Kinondoni ukumbini humo.
Mashabiki wa ngumi wakihamaki ukumbini humo wakati mapambano ya utangulizi yakiendelea baada ya mmoja wa wapigapicha wa Televisheni kupanda jukwaani ili kupata picha bomba jambo ambalo liliwaudhi mashabiki hao na kuanza kupiga kelele na kutaka kumshusha kwa nguvu kwa kile walichodai alikuwa akiwakinga.
MAPAMBANO YA UTANGULIZI



MAPAMBANO YA UTANGULIZI
No comments:
Post a Comment