Harudi mtu Kijijini Hapa, Tutabanana humuhuku kwa Lukuvi hadi kieleweke.
Pamoja na kelele zote na kuwahamasisha wananchi kutojenga katika maeneo yanayoja maji, ili kuepuka maafa na hasa nyakati zaMvua za Masika kama Jangwani na kwingineko, lakini bado wananchi wamekuwawabishi na kuendelea kujenga nakuimarisha maene yao yaliyopo katika sehemu za Bonde laMpunga ambazo mara kadhaa maeneo hay yaekuwayakijaa maji na kusababisha wakazi wa maeneo hayo kuathirika ama kuhama maeneo yao.
Airtel Yaongeza Uwekezaji Zanzibar, Yaingia Ushirikiano na ZECO Kuimarisha
Huduma za Kidigitali
-
Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Mhe. Seif Kombo Pandu
kushoto na Mkurugenzi wa Airtel Money Tanzania, Bw. Andrew Rugamba kulia
wakipeana...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment