Raia wa kigeni mwenye asili ya China, akielewana bei na mfanyabiashara wa samaki, ili kupunguziwa bei ya Samaki aina ya Kamba Kochi. Samaki huyo ndiye samaki mwenye bei kubwa kuliko wote wanaopatikana katika Bahari ya Hindi, ambapo mmoja kama huyu huuzwa kwa Sh. 85,000 ama hupimwa kwa kilo moja kwa Sh. 35, 000.
WANANCHI WAHIMIZWA KUHAMA MAENEO HATARISHI
-
NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
Wananchi wamehimizwa kuendelea kuchukua tahadhari na kuondoka katika maeneo
hatarishi yenye viashiria vya kuathiriwa na maafa ili ...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment