Habari za Punde

*SAFARI YA SIMBA KWENDA BRAZIR YAYEYUKA BAADA YA KUTOKA SARE YA 1-1 NA ATLETICO

Mabeki wa Simba Juma Jabu (kulia) na Haroon Shamte, wakishangilia bao lilillofungwa na Mussa Hassan mgosi kipindi cha kwanza baada ya Krosi nzuri iliyopigwa naye Juma Jabu.
Kiungo wa timu ya Simba, Jerry Santo (kushoto) akiruka kuwania mpira na beki wa Atletico Paranaense ya Brazir, Patrick Leonaldo, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa taifa Dar es Salaam

Rais wa Kampuni ya RPB Oil, Rahm, akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa timu ya Atletico baada ya kumalizika kwa mchezo huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.