Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Clement Mshana,(kushoto) akionyesha kitabu chenye Alama za Taifa vijana 11 wanaotarajia kuondoka nchini kuelekea Japan, ambako watashiriki mpango wa vijana wa Meli ya Kimataifa na kuwataka kutumia muda wao wa kipindi cha miezi 3, wakiwa nchini humo kuitangaza Tanzania. Katikati ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana, Joyce Shaidi na Kiongozi wa msafara wa vijana hao,.Olav Mkopi.
Rais Dkt. Samia awasili Jijini Moscow nchini Urusi kwa ajili ya Ziara ya
Kitaifa.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa
amesimama wakati akipokea heshima ya wimbo wa Taifa mara baada ya kuwasili
...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment