Habari za Punde

*AURORA YAKABIDHI JEZI KWA TASWA FC KUJIANDAA NA MCHEZO WAKE NA BONGO FLEVA FC

Mkurugenzi wa Kampuni ya ulinzi ya Aurora Security, Ally Suleiman (kushoto) akimkabidhi zeji Mwalimu wa timu ya waandishi wa Habari Tanzania, Ally Mkongwe, kwa ajili ya timu hiyo inayotarajia kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Bongo Fleva Fc, baada ya timu hiyo kushinda katika mchezo wake na Bongomuvi Fc, ikiwa ni maalum kwa ajili ya kuchangisha fedha za kuwasaidia waathirika wa mabomu wa Gongolamboto. Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye Ofisi za Aurora Msasani Dar es Salaam jana.
Ally Mkongwe, akizithaminisha jezi hizo baada ya kukabidhiwa.


No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.