Mwanza alishinda zawadi ya kwenda Uingereza kuangalia moja ya mechi ya Ligi Kuu ya nchi hiyo. Wengine kutoka kushoto ni MKurugenzi wa Wateja Binafsi na Wafanyabiashara wadogo Barclays, Zahid Mustafa, Mkuu wa Mtandao wa Matawi wa benki hiyo, Adriana Lyamba na Meneja Masoko wa Barclays, Rahma Gemina.
Kilimo cha Mpunga chatajwa kuchochea maambukizi ya Malaria na Kchocho
Afrika.
-
Na: Calvin Gwabara – Morogoro.
Wataalamu wa afya na mazingira wameendelea kuonesha wasiwasi juu ya kuenea
kwa magonjwa ya malaria na kichocho barani Afr...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment