Mtunga Sheria ndiyo mvunja Sheria, hapa nia askari Polisi ambao wao huwa wa kwanza katika kutoa elimu ya Usalama Barabarani, na hasa kwa waendesha pikipiki kutopakia abiri zaidi ya mmoja ili kuepuka ajali, lakini wao cheki walivyopakiana kana kwamba sheria ya usalama Barabarani wao haiwahusu kabisaaa. Gari ndogo kama hii hebu cheki hii lumbesa iliyopakia je itafika kweli??
Eeeh! hadi itoke hiyo katika maji leo.....
Konda napaswa kuwajibika pindi gari lake linapozima katikati ya dimbwi la maji kama hili...
Kugombea usafiri si kwa watu wa Mbagala pekee hadi huko kwa wenzetu hebu cheki wanavyokagombea kahice haka je wataenea kweli?? Huko nako kuna Uswahilini kama hivi...... Kama Kawa... Hizi ni baadhi ya nyumba za uswazi zikiwa na madaraja ya kiaina kukwepa mafuriko kama ya Tandale.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC
-
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji
wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El
Mahallay...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment