Habari za Punde

*DAR CITY YAIADHIBU TASWA FC 2-0 MCHEZO WA KIRAFIKI

Kiungo mshambuliaji wa Taswa Fc, Saleh Ally, akimiliki mpira mbele ya beki wa timu ya Dar City, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa jana jioni kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi Kijitonyama. Kushoto ni Msanii wa Bongo Flava, H-Baba wa Dar City, akichuana na Mohamed Lyuvale kuwahi kutoa msaada. Dar City ilishinda 2-0.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.