Kiungo mshambuliaji wa Taswa Fc, Saleh Ally, akimiliki mpira mbele ya beki wa timu ya Dar City, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa jana jioni kwenye Uwanja wa Chuo cha Ustawi Kijitonyama. Kushoto ni Msanii wa Bongo Flava, H-Baba wa Dar City, akichuana na Mohamed Lyuvale kuwahi kutoa msaada. Dar City ilishinda 2-0.
Wanahisa wa Benki ya CRDB waidhinisha Malipo ya Gawio la Shilingi Bilioni
130.6 kwa Mwaka wa Fedha wa 2023
-
Arusha 18 Mei 2024 - Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha kwa kauli moja
mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio la Shilingi 50
kwa ...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment