Mrisho Ngasa wa Azam Fc (kulia) akijaribu kuuwahi mpira ili kupiga krosi, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, baina yao na JKT Ruvu uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Azam imeshinda mabao 2-0. Kwa ushindi huo sasa Azama imefikisha jumla ya Pointi 35 sawa na Yanga, ambapo Azam inasaidiwa na magoli mengi ya kufunga na machache ya kufungwa, na Simba ikishikilia nafasi ya tatu ikiwa na Point 34. Kati ya Yanga Azam na Simba ni timu ipi itachukua ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu? wote tusubiri kuona hadi mwisho wa Ligi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MATANGAZO MADOGO MADOGO
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
BLOGU RAFIKI
-
-
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 4, 2024 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 4, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini keny...6 hours ago
-
ATOA ELFU TANO KWA RAIS SAMIA - Na Munir Shemweta, MLELE Mkazi wa kijiji cha Luchima katika kata ya Majimoto halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Bw. Aseni Jandikile amet...7 hours ago
-
ATOA ELFU TANO KWA RAIS SAMIA - Na Munir Shemweta, MLELE Mkazi wa kijiji cha Luchima katika kata ya Majimoto halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Bw. Aseni Jandikile amet...7 hours ago
-
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI - NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi la Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na uad...17 hours ago
-
Maisha : Kamati ya PIC Yaridhishwa na Uwekezajia wa Jengo la PSSSF Commercial Complex - *NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID* KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (Public Investment Committee-PIC), imeridhishwa na uwekezaji wa...5 weeks ago
-
-
Kikosi cha Serengeti Girls hadharani - Kikosi cha timu ya Taifa Wanawake U17 kitakachoingia kambini kujiandaa na mchezo dhidi ya Zambia kufuzu Kombe la Dunia3 months ago
-
My faves handbags on Sale.. - I am one of those people love handbags. Designers, non designers, I am a sacker of a quality handbag but in very affordable prices. So when Tumore prosta...5 months ago
-
Mbunge wa Kigamboni Mh Dkt. Ndugulile azindua kituo cha TUNZAA - Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Mh Dkt Faustine Ndugulile akisikiliza maelekezo ya namna ya kutumia mfumo wa TUNZAA kutoka kwa Mwanzilishi na mkurugenzi wa...2 years ago
-
BODI YA MAJI BONDE LA KATI YAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA MAFURIKO KWENYE MAZIWA YA KINDAI, MUNANG NA SINGIDANI - * Mhandisi Rasilimali za Maji, Bodi ya Maji Bonde la Kati, Moses Salumbi (kushoto), akiweka alama za ukomo wa maji ya mafuriko kwenye Maziwa ya Kindai na...4 years ago
-
-
COASTAL UNION WAKATAA UFADHILI WA WAZIRI JANUARY MAKAMBA - *Mh. January Makamba* *Mh. January Makamba akiwa kwenye moja ya mechi za ligi kuu ya Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.* *Na Mwan...6 years ago
-
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2016 YATANGAZWA - *Matokeo ya Kidato cha nne kwa wananfunzi waliohitimu mwaka 2016, yametangazwa kuyaona kwa KUBOFYA HAPA*7 years ago
-
SERIKALI YATAKIWA KUKAMILISHA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA SONGWE. - Meneja wa Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe uliopo mkoani Mbeya, Hamis Amir akifafanua jambo kwa Waandishi wa habari kutoka TAJATI (hawapo pichani)....7 years ago
-
MANGE'S KIMAMBI COLLECTION - *Mange Kimambi* *The Jump suit &crop top 160,000/-* *Jamani huyu dada anauza nguo nzuriiiii hatari tena straight kutoka Marekani, na hizi ni moja ya ng...9 years ago
-
SIMBA ILIPOWASHANGAZA MASHABIKI WA SOKA JANA,ILIPOCHOMOA MABAO 3 NA KULAZIMISHA SARE YA 3-3 - * Beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro', akiwania mpira na kipa wa Simba Abel Dhaira, wakati wa kipindi cha pili cha mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanza...10 years ago
-
-
-
-
No comments:
Post a Comment