Balozi wa Japan nchini, Hiroshi Nakagawa (katikati) akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, inayochapisha magazeti ya Mtanzania, The African, Bingwa, Dimba na Rai, Hussein Bashe (kulia) na Mhariri wa Mtanzania, Deodatus Balile, wakati walipokutana kwa mahojiano maalum Ofisini kwake Dar es Salaam leo mchana.
Wanahisa wa Benki ya CRDB waidhinisha Malipo ya Gawio la Shilingi Bilioni
130.6 kwa Mwaka wa Fedha wa 2023
-
Arusha 18 Mei 2024 - Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha kwa kauli moja
mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio la Shilingi 50
kwa ...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment