Kiongozi wa bendi ya Extra Bongo, Ally Choki (katikati mbele), akiwa na wanamuziki wapya kutoka bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta' wakati wa mkutano na waandishi wa habari alipokuwa akiwatambulisha wanamuziki hao kwa waandishi wa habari. Wanamuziki hao waliojiunga na bendi hiyo ni Mwimbaji Rogert Katapillar, Rapa wa bendi hiyo Saulo John 'Ferguson' ambaye aliibukia katika bendi hiyo hiyo ya Extra Bongo na Kiongozi wa Wanenguaji wa Twanga, Super Nyamwela, Danger Boy na Otilia. Picha na John Bukuku
FCC Yaazimia Kuunga Mkono Mpango Mkakati wa Miaka Mitano 2026/31
-
Baraza la Wafanyakazi la Nne la Tume ya Ushindani (FCC) limehitimisha kikao
chake cha siku mbili kwa kuazimia kuunga mkono rasimu ya Mpango Mkakati
Mpya wa...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment