Kiongozi wa bendi ya Extra Bongo, Ally Choki (katikati mbele), akiwa na wanamuziki wapya kutoka bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta' wakati wa mkutano na waandishi wa habari alipokuwa akiwatambulisha wanamuziki hao kwa waandishi wa habari. Wanamuziki hao waliojiunga na bendi hiyo ni Mwimbaji Rogert Katapillar, Rapa wa bendi hiyo Saulo John 'Ferguson' ambaye aliibukia katika bendi hiyo hiyo ya Extra Bongo na Kiongozi wa Wanenguaji wa Twanga, Super Nyamwela, Danger Boy na Otilia. Picha na John Bukuku
KITUO CHA UMAHILI MLOGANZILA KUIMARISHA HUDUMA ZA MOYO, KINYWA NA MENO
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
UJENZI wa kitengo cha kutoa huduma za kinywa na meno katika Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kamp...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment