Kiongozi wa bendi ya Extra Bongo, Ally Choki (katikati mbele), akiwa na wanamuziki wapya kutoka bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta' wakati wa mkutano na waandishi wa habari alipokuwa akiwatambulisha wanamuziki hao kwa waandishi wa habari. Wanamuziki hao waliojiunga na bendi hiyo ni Mwimbaji Rogert Katapillar, Rapa wa bendi hiyo Saulo John 'Ferguson' ambaye aliibukia katika bendi hiyo hiyo ya Extra Bongo na Kiongozi wa Wanenguaji wa Twanga, Super Nyamwela, Danger Boy na Otilia. Picha na John Bukuku
SERIKALI YAIPONGEZA GGML KWA MCHANGO WAKE WA MIAKA 25 KATIKA SEKTA YA
MADINI NCHINI TANZANIA
-
Mheshimiwa Dkt. Steven L. Kiruswa, Naibu Waziri wa Madini, akipokea kitabu
cha kumbukumbu (legacy book) kilichoandaliwa kuadhimisha miaka 25 ya Geita
G...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment