Meneje wa Binwa wa Mabingwa mchezo wa Kick Boxer, Japhet Kaseba, 'John Sina' akimvisha grovs, Kaseba tayari kwa kuanza mazoezi kwenye Jimu yake iliyopo Mwananyamala Dar es Salaam leo asubuhi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wake usio wa ubingwa na Bondia Mada Maugo unaotarajia kuchezwa April 16 mwaka huu, jijini.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo October 23, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania October 23,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma Magazetini...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment