Habari za Punde

*KASEBA AANZA KUJIFUA KUMKABILI MAUGO APRIL 16

Meneje wa Binwa wa Mabingwa mchezo wa Kick Boxer, Japhet Kaseba, 'John Sina' akimvisha grovs, Kaseba tayari kwa kuanza mazoezi kwenye Jimu yake iliyopo Mwananyamala Dar es Salaam leo asubuhi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wake usio wa ubingwa na Bondia Mada Maugo unaotarajia kuchezwa April 16 mwaka huu, jijini.
Bingwa wa Mabingwa wa mchezo wa Kick Boxer, Japhet Kaseba, akiwa katika mazoezi kwenye Kambi yake iliyopo Mwananyamala kwa ajili ya kujiandaa na pambano lake lisilo la ubingwa na Bondia Mada Maugo, linalotarajia kufanyika Aprili 16 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.