Kijana anayefanya biashara za mkononi katikati ya Jiji la Dar es Salaam, mitaaya Posta Mpya leo mchana baada ya Jamaa huyu (katikati mwenye Tisheti nyekundu) aliyejifanya ni Mgambo wa Jiji na kumpiga mkwara kijana huyo akijaribu kutaka kumnyang'anya mfuko wake wenye biashara. Mfanyabiashara huyo alikuwa mkali kama mbogo na kuamua kukunjana naye huku akupiga makelele "We ni mwizi tu unafikiri mie sikufahamu, unataka kumuibia nani sikupi huu mfuko hata ufanyeje" alisikika mfanya biashara huyo akisema, huku mgambo huyo naye akisikia kusema "lete huo mfuko haraka sana husikii" alisema mgambo huyo. Timbwili hilo lilikuwa la aina yake hado mgambo huyo alipofuatwa na mwenzake (kushoto mwenye njano) na kumvuta akimsihi kuondoka mahala hapo kwani tayari walishajaa watu kibao wakishuhudia chezo hilo.
Kim Jong Un wa Korea Kaskazini atembelea vituo vya makombora.
-
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ametembelea vituo vya makombora
kuchunguza utayarifu wao wa kuchukua hatua za “kuzuia kimkakati”, huku
akiutaja u...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment