Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ramadhan Khijah, (kushoto) akibadilishana hati za makubaliano na Balozi wa Japan nchini, Hiroshi Nakagawa, za msaada wa Sh bilioni 7.3, kwa ajili ya kusaidia uboreshaji wa kilimo nchini kupitia mpango wa kununua mbolea na kuwauzia wakulima kwa bei nafuu. Hafla hiyo fupi ya kusaini mkataba huo ilifanyika leo jijini Dar es Salaam. Picha na Tiganya Vincent - MAELEZO
WANAOKUSANYA BETRI CHAKAVU BILA KUFUATA TARATIBU, AGENDA WATOA NENO KWA
WADAU
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira(NEMC)limewashauri watu
wote wanaojihusisha na kukusanya betri chakavu na...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment