Habari za Punde

*KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA ASAINI MKATABA WA Sh. BILONI 7.3 NA UBALOZI YA JAPAN

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ramadhan Khijah, (kushoto) akibadilishana hati za makubaliano na Balozi wa Japan nchini, Hiroshi Nakagawa, za msaada wa Sh bilioni 7.3, kwa ajili ya kusaidia uboreshaji wa kilimo nchini kupitia mpango wa kununua mbolea na kuwauzia wakulima kwa bei nafuu. Hafla hiyo fupi ya kusaini mkataba huo ilifanyika leo jijini Dar es Salaam. Picha na Tiganya Vincent - MAELEZO

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.