Habari za Punde

*MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UJUMBE WA FALME ZA KIARABU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Ujumbe kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu, ulioongozwa na Waziri wa Nchi wa Umoja wa Falme hizo Dk. Reem Ibrahim Al Hashimy, wakati Ujumbe huo ulipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo. na kufanya mazungumzo kuhusu umuhimu wa kukamilisha taratibu za kuundwa kwa Tume ya pamoja ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Brazil Nchini Tanzania Mhe. Calrlos Soares Luz, wakati Balozi huyo alipokwenda Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo.


No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.