Habari za Punde

*KATIBU WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKUTANA NA KATIBU WA BUNGE LA UINGEREZA

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Thomas Kashililah (kushoto) akimweleza jambo Katibu wa Bunge la Uingereza 'House of Commons' Jack Malcom, wakati alipofika kwenye Ofisi za bunge jijini Dar es Salaam leo mchana kumtembelea. Katibu huyo wa Bunge la Uingereza yupo nchini kwa ziara ya kikazi kubadilishana uzoefu na viongozi wa Bunge letu namna ya uendeshaji wa shughuli za mabunge katika nchi wanachama wa nchi za Jumuia ya Madola. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.