Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Thomas Kashililah (kushoto) akimweleza jambo Katibu wa Bunge la Uingereza 'House of Commons' Jack Malcom, wakati alipofika kwenye Ofisi za bunge jijini Dar es Salaam leo mchana kumtembelea. Katibu huyo wa Bunge la Uingereza yupo nchini kwa ziara ya kikazi kubadilishana uzoefu na viongozi wa Bunge letu namna ya uendeshaji wa shughuli za mabunge katika nchi wanachama wa nchi za Jumuia ya Madola. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
MHE. PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA TUME HURU YA UCHAGUZI YA BOTSWANA
-
Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
Afrika (SADC -SEOM) nchini Botswana, Mhe. Mizengo Pinda amekutana na
kuzungumza...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment